• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • FIFA Kimbe la mabara: Ujerumani na Chile zafuzu nusu fainali.

    (GMT+08:00) 2017-06-27 09:03:32
    Ujerumani na Chile zimetinga nusu fainali ya mashindano ya FIFA kombe la mabara baada ya kumaliza mechi zao za kundi B.

    Ujerumani wametwaa ushindi wa kundi B baada ya kuichapa Cameroon 3-1 huku Chile wakishika nafasi ya pili baada ya kutoka sare ya 1-1 na Australia,

    Jumatano ijayo, Ureno itaivaa Chile kwenye nusu fainali ya kwanza huko Russia na Ujerumani kukutana na Mexico siku ya Alhamis kwenye nusu fainali ya pili.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako