Machinjio ya tatu cha punda nchini Kenya yamefunguliwa katika eneo la Nakwaalele mjini Lodwar, katika kaunti ya Turkana. Kampuni ya Zilzha kutoka China inayomiliki machinjio hayo, itasindika nyama ya punda na ngozi kwa ajili ya usafirishaji hadi China na nchi nyingine za mashariki ya mbali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |