Wizara ya mambo ya nje ya China imesema, rais Xi Jinping wa China atafanya ziara nchini Russia na Ujerumani kuanzia Julai 3 hadi 6.
Rais Xi pia atahudhuria mkutano wa kilele wa 12 wa kundi la G20 utakaofanyika Julai 7 na 8 huko Hamburg, Ujerumani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |