Wizara ya mambo ya ndani ya Ukraine imethibitisha kuwa kiongozi wa ujasusi wa wizara ya ulinzi ya nchi hiyo aliuawa katika mlipuko wa mabomu yaliyotegwa kwenye gari katikati ya mji wa Kiev. Video iliyotolewa na vyombo vya habari vya Ukraine inaonesha kuwa mlipuko huo ulitokea wakati gari lenye mabomu lilipokuwa linaenda, na dereva wake alikufa papo hapo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |