• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Afrika Kusini yapiga marufuku mauzo ya kuku hai kutokana na wasiwasi ya maambukizi ya homa ya mafua ya ndege

    (GMT+08:00) 2017-06-30 18:19:20

    Waziri wa Kilimo wa Afrika Kusini Bw. Senzeni Zokwana amesema, nchi hiyo imeamua kusimamisha mauzo ya kuku hai baada ya kutokea mlipuko wa homa ya mafua ya ndege katika mashamba mawili yaliyoko mkoani Mpumalanga nchini humo.

    Bw. Zokwana amesema, hatua hiyo imeleta wasiwasi tangu baadhi ya mifugo kuathiriwa na ugonjwa huo, lakini hatua hiyo imechukuliwa kutokana na maslahi ya taifa na wafanyabiashara wengi wa kuku.

    Afrika Kusini imeripoti mgonjwa wa pili wa homa ya mafua ya ndege huko Standerton mkoani Mpumalanga, baada ya mlipuko wa kwanza kutokea karibu na Villiers jumanne iliyopita katika eneo hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako