• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ndondi: Man Pacquiao apigwa na mwalimu wa zamani.

    (GMT+08:00) 2017-07-03 09:26:28

    Mwalimu wa zamani wa shule nchini Australia Jeff Horn, ameshangaza ulimwengu wa ndondi kwa kumshinda bingwa wa dunia raia wa Ufilipino Manny Pacquiao.

    Jeff Horn alishinda kwa pointi katika pambano la raundi 12 na kupata taji la welterweight mbele ya mshabiki elfu hamsini. Kushindwa kwa Manny Pacquiao kumewashangaza mashabiki wengi nchini ufilipino ambako yeye ni nyota wa kitaifa na seneta aliyechaguliwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako