Hakimu mkazi mkuu, Wilbard Mashauri amesema kwa upande wa utetezi wenyewe wanatambua kuwa mashtaka ya utakatishaji fedha hayana dhamana. Watuhumiwa hao wanakabiliwa na kesi ya kughushi nyaraka za serikali pamoja na utakatishaji pesa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |