Jaji wa Marekani Eric Long ameamuru kushikiliwa kwa mshukiwa anayetuhumiwa kumteka nyara msomi wa China bila nafasi ya kupewa dhamana hadi kesi yake itakaposikilizwa tena mahakamani Julai 5. Msemaji wa mwanasheria mkuu wa Marekani amesema kama mshukiwa huyo anayetambuliwa kwa jina la Brendt Christensen, mwenye umri wa miaka 28, akikutwa na hatia, atakabiliwa na adhabu ya kifungo cha maisha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |