Nayo klabu ya West Ham inajipanga kumrudisha mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Javier Hernandes ambaye kwa sasa anacheza Bayern Leverkusen.
Wakati Everton inajiandaa kutua nchini Tanzania, mshambuliaji wa kalbu hiyo Romelu Lukaku bado anaiumiza kichwa Chelsea. Na baada ya usajili wa Thomas Lemar kutoka Monaco kwenda Arsenal kuonekana kuwa mgumu sasa kocha Arsene Wenger ahamishia nguvu kwa Riyad Mahrez.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |