Ofisa mmoja wa Somalia amesema siku hiyo moja ya mizinga iliyoanguka kwenye eneo la ikulu ililipuka na kusababisha vifo vya askari wawili.
Hivi sasa hakuna kundi lolote lililotangaza kufanya shambulizi hilo. Lakini kundi la Al-Shabaab nchini Somalia hufanya mashambulizi kama hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |