Jeshi la Iraq limesema kuwa operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul inakaribia kumalizika, wakati ni wapiganaji 300 tu wa kundi la Islamic State waliosalia mjini Mosul, na kuzingirwa na jeshi hilo kwenye eneo dogo lililoko ukingo wa magharibi wa mto Tigris. Jumanne wiki hii ofisa mmoja wa jeshi hilo alisema kuwa mji wa Mosul unatazamiwa kukombolewa leo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |