Utoaji mimba salama huenda ukahalalishwa nchini Kenya, endapo ombi la jaji wa mahakama kuu Njoki Ndung'u litakubaliwa. Imefahakima kuwa licha ya kuwa ni ukiukaji wa sheria, vitendo vya utoaji mimba nchini Kenya bado vinaendelea, na kusababisha hatari kutokana na kufanyika katika mazingira yasiyo salama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |