Polisi nchini Afrika ya Kati wamesema, watu wasiopungua 77 wamefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea juzi katikati ya nchi hiyo.
Taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi imesema, lori moja lililobeba abiria na mizigo kutoka Bambari hadi Malum limepinduka.
Polisi imesema, chanzo cha ajali hiyo ni kubeba mizigo na abiria kupita kiasi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |