• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Timu ya kriketi ya Kenya kushiriki kombe la dunia

    (GMT+08:00) 2017-07-10 08:55:07
    Timu ya kriketi ya Kenya ya wachezaji wasiozidi miaka 19 week end iliyopita imefuzu kushiriki kombe la dunia mwaka 2018.

    Kenya, ambayo ni taifa la 12 kufuzu kushiriki kombe la dunia litakaloandaliwa nchini New Zealand kati ya Januari 13 na Februari 3 mwaka 2018, ilinasa tiketi kwa kuibamiza Uganda uwanjani Gymkhana jijini Nairobi.

    Uganda iliingia fainali hizo bila kupoteza mechi hata moja na kujikuta ikipoteza kwa Kenya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako