Kenya, ambayo ni taifa la 12 kufuzu kushiriki kombe la dunia litakaloandaliwa nchini New Zealand kati ya Januari 13 na Februari 3 mwaka 2018, ilinasa tiketi kwa kuibamiza Uganda uwanjani Gymkhana jijini Nairobi.
Uganda iliingia fainali hizo bila kupoteza mechi hata moja na kujikuta ikipoteza kwa Kenya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |