Hivi sasa klabu zote 20 za EPL zipo kwenye harakati za kujiimarisha kwa kuleta nguvu mpya kwenye vikosi vyao kwa kununua wachezaji wapya.
Lakini pia Klabu hizo zimeanza kukusanya vikosi vyao kwa ajili ya kambi za mazoezi zikianza na ziara maalum.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |