Uchunguzi umeanzishwa kubaini kilichosababisha kifo cha aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Bw Joseph Nkaissery kilichotokea ghafla jumamosi alfajiri. Kifo hicho kimewashtusha wakenya wengi, kwani Bw Nkaissery alionekana akiwa mwenye afya njema alipohudhuria maombi ya kitaifa katika uwanja wa Uhuru siku moja kabla.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |