KAMPUNI ya Ndege ya Fastjet imenunua hakimiliki zote kutoka kwa kampuni mwenza ya Easyjet kuanzia Juni mwaka huu kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 2.5 (Sh bilioni 5.25).
Fastjet ni kampuni kubwa kwa sasa inayotoa huduma sehemu nyingi Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |