Kenya inaungana na nchi nyingine kuadhimisha siku ya kimataifa ya idadi ya watu. Kenya inaadhimisha siku hii wakati watu wake wanaendelea kukabiliana na matatizo ajira na umaskini, huku idadi ya watu ikiendelea kuongezeka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |