Mchezaji huyo kutoka Burundi alishinda tuzo hilo baada ya ushindani mkali kutoka mshambuliaji wa Musanze FC, Wai Yeka na mshambuliaji wa timu ya Polisi FC Danny Usengimana.
Kwizera alipokea tuzo hilo pamoja na milioni moja ya Rwanda kama zawadi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |