Kikosi cha Kenya iliimarisha uongozi wake baada ya kujizolea pointi tano katika single ya mwisho pande zote na kurejesha kombe hilo kwa mara ya pili kwa tofauti ya pointi mbili tu.
Kocha wa Uganda Amos Kamya, nahodha Becca Mwanja na kitengo chake walielezea masikitiko yao kwa kukosa kuzuia Kenya kutwaa kombe hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |