Rooney, amesema ziara hiyo itampa fursa mwafaka ya kufahamiana na wachezaji wenzake wapya.
Mshambulizi huyo mwenye umri wa miaka 31, anayeongoza kwa ufungaji mabao England alitia saini mkataba wa miaka miwili Goodison Park Jumapili, na kurejea kwenye klabu hiyo ambayo aliichezea akiwa na umri mdogo kabla ya kukigura na kujiunga na Manchester United.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |