• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uganda: soko mpya Mbarara la patia nafasi wafanyibiashara 3,000

    (GMT+08:00) 2017-07-12 19:53:35

    Soko mpya Mbarara litapatia nafasi wafanyibiashara 3,000 kufanya biashara zao.

    Soko la kisasa la sh bilioni 23 za Uganda linatarajiwa kuanza kufanya hivi karibuni .

    Soko hili linajengwa chini ya mpango kuboresha masoko na kilimo biashara, na ilifadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako