Soko mpya Mbarara litapatia nafasi wafanyibiashara 3,000 kufanya biashara zao.
Soko la kisasa la sh bilioni 23 za Uganda linatarajiwa kuanza kufanya hivi karibuni .
Soko hili linajengwa chini ya mpango kuboresha masoko na kilimo biashara, na ilifadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |