Gor Mahia ambao watacheza na kikosi cha kwanza cha Everton hapo kesho uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mchezo wa kirafiki, wamewasili wakiwa na mastaa wao wote akiwemo Jean Baptiste Mugiraneza aliyekuwa anaichezea Azam FC.
Gor Mahia kwa sasa wanafundishwa na kocha wa zamani wa Simba muingereza Dylan Kerr ambaye kwa sasa ndio kocha mkuu na amesema mchezo dhidi ya Everton hautakuwa rahisi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |