Ujumbe huo wa waendeshaji baiskeli tano, uliongozwa na kocha msaidizi wa timu ya taifa Felix Sempoma, utaungana na Bonaventure Uwizeyimana, ambaye amekuwa Marekani kwa wiki mbili baada ya kushiriki kwa mashindano iliyohusisha timu ya Lowestrates.Ca kama mwendeshaji baiskeli mwalikwa na kocha mkuu Sterling Magnell, ambaye alisafiri Jumanne.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |