Hata hivyo kocha mkongwe Leo Adraa, ameonya Uganda dhidi ya kudhalilisha majirani wao Sudan Kusini kwani kulingana naye timu hiyo kutoka Juba imenoa makali yake vilivyo.
Aidha, mkufunzi huyo anadai kuwa Sudan Kusini itapata motisha ya kucheza mbele ya mashabiki wa nyumbani huku kukiwa na wingi wa imani kuwa wachezaji wengi wa nchi hiyo changa barani Afrika wanaosakata soka ya kulipwa Uganda, watakuwa wa manufaa sana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |