Aliyekuwa bingwa wa dunia mara tano katika uzani wa middleweight Mayweather Junior alikutana tena na bingwa wa uzani wa lightweight mpiganaji McGregor.
McGregor mwenye umri wa miaka 28 alicheza densi katika jukwaa akimkosoa Mayweather mwenye umri wa miaka 40.
Wawili hao watakutana katika piogano lka raudni 12 chini ya sheria za ndondi tarehe 26 mwezi Agosti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |