Ada imeongezeka kwa asilimia 8.3 na kufikia sh 0.39 kwa kilowatt kwa saa (kWh) kutoka sh 036 mwezi juni.
Hii ni rekodi kubwa katika soko la umeme la Kenya kutoka chini ya Sh0.05 kwa kitengo mwaka 2009, takwimu kutoka kwa Tume ya Udhibiti wa Nishati (ERC) inaonyesha.
Kiwango cha mfumuko wa bei nchini Kenya kimekuwa juu ya asilimia 10, miaka mitano juu, tangu Machi kabla kushuka kwa asilimia 9.21 mwezi Juni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |