• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: China kutengeneza kiwanda cha umeme cha bilioni 13.5

    (GMT+08:00) 2017-07-18 20:04:38
    Wizara ya kawi na petrol nchini Kenya imeipatia China kandarasi ya shilingi bilioni 13.5 kutengeneza kiwanda cha usambazaji umeme katika eneo la Isiolo na Garissa.

    Kiwanda hicho kitatengenezwa na shirika la China Camc ili kumaliza ukosefu wa umeme wa kutosha katika eneo hilo.

    Miji hiyo miwili katika eneo la kasakazini mwa Kenya imekumbwa na changamoto nyingi za ukosefu wa umeme kwa mda mrefu.

    Mradi huo utakamilimishwa kwa mda wa miezi 24 na utazalisha umeme wa kilovolt 220 .

    Aidha mradi huo unatarajiwa pia kusambaza umeme katika sehemu nyingine mashinani nchini Kenya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako