Rais wa shirikisho la kandanda nchini uhispania na mtoto wake wa kiume wamekamatwa kama sehemu ya uchunguzi wa polisi kuhusu ufisadi.
Angel MarĂa Villar Llona alikamatwa kwa kushukiwa kuvuja pesa. Villar ambaye ni mchezaji wa zamani wa kimataifa ya Uhispania amekuwa rais wa shirikisho la kandanda la uhispania tangu mwaka 1988.
Mwanawe wa kiume Gorka ni kati ya watu waliokamatwa wakati wa uvamizi uliofanywa mara kadha mapema hapo jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |