Kocha mkuu wa kikosi cha voliboli ya wanaume kutoka Rwanda Paul Bitok anasema timu yake iko tayari kwa ajili ya mashindano ya Zone 5 itakayoanza Julai 21 jijini Kigani.
Mashindano hayo yamevutia nchi nne zikiwemo; Kenya, Uganda, Rwanda na Sudan Kusini.
Kikosi cha Bitok sasa kiko katika kambi ya makazi katika hoteli ya Golden Tulip ikifanya mafunzo mara mbili kwa siku kwa ajili ya maandalizi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |