Mbali na mambo kuhusu uwekaji wa vikwazo, muswada huo vilevile unaweka mipaka kwa madaraka ya rais kuhusu kuondolea vikwazo Russia. Kwa mujibu wa muswada huo, rais atakapotoa uamuzi kuhusu sera za kidiplomasia zinazohusu Russia anatakiwa kutoa ripoti kwa bunge, wakati bunge lina haki ya kukataza uamuzi wa rais.
Kutokana na mpango uliowekwa, baraza la chini la bunge litapiga kura kuhusu muswada huo tarehe 25, ikiwa utapitishwa litawasilishwa kwenye baraza la juu la bunge, na baada ya hapo kuwasilishwa kwa rais Trump na kuamuliwa nae kama utapitishwa na kuwa sheria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |