• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Afrika Kusini yaendelea kushikilia msimamo wake wa kujitoa ICC

    (GMT+08:00) 2017-07-23 19:21:44

    Afrika Kusini bado inashikilia uamuzi wa kujitoa katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai (ICC).

    Mwenyekiti wa kamati ndogo ya uhusiano wa kimataifa wa chama cha tawala cha African Congress (ANC) Bi Edna Molewa ambaye pia ni waziri wa maji na uhusiano wa mazingira ameeleza kuwa mahakama hiyo ilihimiza Afrika Kusini kuchagua kati ya kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria ya Roma na kukamata mkuu wa serikali hiyo wakati akihudhuria mkutano kama mgeni wa Umoja wa Afrika. Uamuzi ambao amesema kuwa na madhara makubwa na uwezekano wa hatari ya sera za kigeni.

    Mahakama ya kimataifa iliitaka Afrika Kusini kumkamata Rais wa Sudani Al-Bashir alipoingia nchini humo mwezi Juni mwaka 2015 kwenye mkutano wa Umoja wa Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako