• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • ICRC yaonesha wasiwasi kutokana na hali ya maambukilizi ya kipindupindu nchini Yemen

    (GMT+08:00) 2017-07-24 09:26:43

    Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC jana ilitoa taarifa ikieleza wasiwasi kutokana na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen. Taarifa ya kamati hiyo imetahadharisha kuwa kama hatua madhubuti hazitachukuliwa, maambukizi ya kipindupindu nchini humo yatafikia laki sita ifikapo mwishoni mwa mwaka, yaani moja kati ya watu 45 nchini humo ataambukizwa ugonjwa huo. Takwimu zilizotolewa na ofisi ya Umoja wa mataifa ya kuratibu masuala ya kibinadamu OCHA zinaonesha kuwa maambukizi ya kipindupindu yameathiri kila jimbo nchini Yemen na kusababisha vifo vya watu 1,780.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako