• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Umoja wa nchi za Kiarabu waitisha mkutano wa dharura kujadili hali ya uhusiano wa Israel na Palestina

    (GMT+08:00) 2017-07-24 10:18:58

    Umoja wa nchi za Kiarabu utaitisha mkutano wa dharura wa ngazi ya mawaziri tarehe 26 mwezi huu, kujadili hali ya uhusiano kati ya Israel na Palestina.

    Katibu mkuu wa umoja huo Bw Ahmed Aboul Gheit amesema, hatua zilizochukuliwa na serikali ya Israel haziendani na mahitaji ya usalama, bali ni kitendo cha uchokozi kinachoweza kusababisha mgogoro mkubwa kati yake na waislam. Amesisitiza kuwa nchi za kiarabu na waislam hawawezi kukubali kitendo chake katika mji wa Jerusalem.

    Habari zinasema Israel ilipiga marufuku waislam kuingia kwenye eneo la Temple Mount kufanya ibada kutokana na vifo vya polisi wawili katika eneo hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako