Chepkirui, ambaye ametoka kujishindia medali ya fedha katika mbio za mita 3,000 katika mashindano ya chipukizi wasiozidi miaka 18 wiki iliyopita jijini Nairobi, aliongoza na kumiliki mbio hizo kwa dakika 9 na sekunde 25.40.
Chepkirui, alimpiku Katrina Robinson kutoka New Zealand aliyechukua nafasi ya pili naye Brogan MacDougall kutoka Canada akamaliza msururu wa tatu bora.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |