Rwanda iliiondoa Tanzania kwa jumla ya bao 1-1 baada ya kutoka sare katika mechi ya marudiano kwenye uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali. Hivyo basi, Rwanda imesonga mbele kwa faida ya bao la ugenini, walilolipata kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa Mwanza
Uganda ilifuzu kuingia awamu hiyo ya tatu na ya mwisho baada ya kuitinga timu ya soka ya Sudan Kusini bao 5-1 siku ya Jumamosi mjini Juba. Mshindi wa mechi hii atafuzu moja kwa moja kwa fainali za CHAN ambazo zimepangwa kupigwa nchini Kenya mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |