Froome, anayewakilisha Sky, hapo awali alishinda matoleo ya mwaka 2013, 2015 na 2016 na sasa anashikilia nafasi ya tano kwa orodha jumla ya washindi wa mashindano hayo nyuma ya vigogo Eddy Merckx, Jacques Anquetil, Bernard Hinault na Miguel Indurain.
Kwa mara ya kwanza Froome alionekana kungangana sana katika mashindano hayo kwani kiasi cha ushindi wake ilikuwa chini ya dakika moja mbele ya raia wa Colombia Rigoberto Uran aliyemaliza wa pili kwa sekunde 54 baadaye. Romain Bardet wa Ufaranza alimaliza wa tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |