Kahawa inayo zalishwa nchini Kenya itashuka na karibu asilimia 10, mkurungeznzi kutoka mamlaka ya kilimo na chakula Alfred Busolo amesema.
Aidha amesema uzalishaji wa kahawa wakati huu mwaka 2016/2017 unaoisha mwishoni mwa mwezi Oktoba, utashuka hadi tani 42,000 , kutoka tani 46,000 mwaka uliopita.
Busolo amesema hii imetokana na , mabadiliko katika ya hali ya hewa .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |