Duru za kuaminika zinadai kuwa klabu hiyo mpya ilitoa zaidi ya eflu 320 dola za marekani ili kumsajili kiungo huyo wa kati wa Kenya. Sasa Omollo, mwenye umri wa miaka 27 anatarajiwa kutia saini mkataba na klabu hiyo yenye makao yake jijini Brugges kabla ya mwisho wa Jumanne.
Cercele Brugge ni klabu kanachomilikiwa na miamba wa soka nchini Ufaranza, AC Monaco, ambayo inatumia klabu hiyo kukuza vipaji vipya vya soka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |