Timu hiyo ya Tanzania ilibanduliwa kutoka mashindano hayo kwenye raundi ya pili kwa kupitia kanuni ya bao la ugenini.
Mayanga na msaidizi wake Fulgence Novatus walidai kuwa mwachezaji wa Tanzania hawakuwa na bahati nzuri wakati wa mchuano huo, jambo ambalo walidai ilichangia matokeo mabaya ya timu hiyo.
Kwa maoni yao, Taifa stars ilisakata mpira kwa ustadi na kujitengenezea nafasi murwa kufunga mabao hila hilo halikufanyika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |