Rwanda inajenga kituo cha taakwimu kwa gharama ya franc bilioni ili kumarisha ukusanyaji wa data nchini humo.
Kituo hicho kipya kinajengwa katika wilaya ya Nyarugenge.
Mkurungezi wa kituo cha kitaifa cha kukusanya dataYusuf Murangwa, amesema kwamba ujenzi wa jumba hilo la orofa sita tayari unaendelea na litakamilika 2018.
Alisema aidha kuna haja ya kuendelea kuongeza uwezo wa nguvu kazi ili kuwa na taakwimu hakika zaidi kwenye maswala ya kitaifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |