Ili kutatua changamoto ya msongamano barabarani mji wa Xiamen umejenga njia ya juu ya baiskeli, ambapo juu yake kuna njia ya mabasi ya mwendo kasi na chini mabasi na magari ya kawaida.
Mwandishi wetu wa habari Caroline Nassoro ambaye hajaendesha baiskeli kwa miaka 30 ameendesha baiskeli kwenye njia hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |