Mshambuliaji wa Monaco, Kylian Mbappe ameiambia klabu yake kuwa anataka kuondoka kipindi hiki cha uhamisho majira ya joto.
Virgil van Dijk ameonesha ishara kuwa hataki kuendelea kubaki Southampton na anataka kushinikiza kujiunga na Liverpool.
Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez amewaambia wachezaji wenzake wa Emirates kuwa anatarajia kuondoka klabuni hapo msimu huu.
AC Milan wanataka kumsajili mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa kwa mkataba wa kudumu katika dirisha la uhamisho wa majira ya joto.
Liverpool wameungana na Chelsea na Manchester United katika mbio za kumuwinda kiungo wa Bayern Munich Renato Sanches,
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |