Nyota huyo kutoka Uswizi, aliyesherehekea miaka 36 tangu kuzaliwa kwake siku ya Jumanne, alimlemea mwenzake anayeorodheshwa nambari 116 duniani na kushinda 6-2, 6-1 katika dakika 53.
Federer anapaa baada ya mwaka uliojaa mafanikio kwake ambapo tayari ameshinda mataji ya Australian Open na Wimbledon.
Hapo jana, Federer alidhihirisha kwamba ana uwezo wa kutwaa na kuongeza taji la US Open baada ya mchezo maridadi uliomwacha Polansky bila majibu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |