Wizara hiyo imesema, mwezi uliopita, pato hilo liliongezeka kwa asilimia 11.1 ikilinganishwa na mwaka, ambayo ni sawa na dola za kimarekani bilioni 250.
Pato linalotokana na kodi (VAT) liliongezeka kwa asilimia 18.8 kwa mwezi uliopita, ikilinganishwa na kipindi hicho kwa mwaka jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |