Hata hivyo, haikuwa wakati mzuri kwa Didier Munyaneza, aliyekosa kuwahi muda uliowekwa katika hatua ya mwisho ya mashindano ya kitengo cha UCI 2.HC. Mwendeshaji huyo mwenye umri wa miaka 19 alitajwa kuwa mwendeshaji aliyevutia kutoka hatua ya kwanza.
Manuel Senni wa BMC Racing Team, aliyemaliza wa 10 katika hatua ya 4 alitangazwa mshindi kwa jumla hata ingawa hakushinda hatua yoyote katika mashindano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |