Wakizungumza baada ya kuchaguliwa kwa Karia, wadau hao walisema Tanzania bado haijawa vizuri kwenye mashindano ya kimataifa na hilo linasababishwa na kutojiandaa kuanzia ngazi za chini.
Walisema kuwa kutokana na hali hiyo, rais mpya wa TFF anapaswa kuanza na mkakati wa kusaidia kukuza vipaji vya vijana kwa manufaa ya Taifa kwani bila vijana na kutegemea wachezaji wakubwa itakuwa kazi bure.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |