• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Usain Bolt aitwa kujiunga timu ya soka Burton Albion

    (GMT+08:00) 2017-08-17 10:27:24

    Mwanariadha wa Jamaica Usain Bolt amepewa ofa kujiunga na klabu ya Ligi Daraja la Kwanza England ya Burton Albion, baada ya kutangaza kustaafu akiwa kwenye mashindano ya Riadha ya Dunia yaliyomalizika London jumapili.

    Usain Bolt amestaafu riadha, huku akifanya vibaya kwenye mbio za miata 100 na 400 alizokimbia kwenye mashindano hayo.

    Kocha wa Burton, Nigel Clough amesema anafahamu rekodi ya mwanariadha huyo ambaye amewahi kucheza soka wakati akiwa mdogo hivyo amempa muda wa kutafakari kuhusu ofa ya kujiunga na klabu hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako