Usain Bolt amestaafu riadha, huku akifanya vibaya kwenye mbio za miata 100 na 400 alizokimbia kwenye mashindano hayo.
Kocha wa Burton, Nigel Clough amesema anafahamu rekodi ya mwanariadha huyo ambaye amewahi kucheza soka wakati akiwa mdogo hivyo amempa muda wa kutafakari kuhusu ofa ya kujiunga na klabu hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |