• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Nairobi yapanda nafasi 5 katika miji bora ya kuishi

    (GMT+08:00) 2017-08-17 18:27:38
    Nairobi imepanda hadi nafasi ya 120 kutoka 125 miongoni mwa nchi 140 kama miji bora ya kuishi duniani.

    Kwenye utafiti wa Economist Intelligence Unit,Nairobi imepewa nafasi hiyo kutokana na kuboreshwa kwa sekta za afya,elimu,miundo msingi ,utamaduni na mazingira.

    Roisin Miller mdau wa masuala ya biashara ustawi wa jiji katika biashara na maisha ndio sababu kuu ya ongezeko la shughuli za biashara .

    Orodha hii imetolewa baada ya utafiti uliofanywa katika sekta za utalii ,uwekezaji na kampuni zilizoajiri watu.

    Hata hivyo juhudi za kupunguza uharibifu wa mazingira zimetakiwa kuongezwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako